Jumamosi, 1 Oktoba 2016

Nyota Ya Mtanzania

NYOTA YA MTANZANIA

Blog Ya Kuweza Kupata Mafanikio Kwa kila Mtanzania


KUHUSU NYOTA YA MTANZANIA
NYOTA YA MTANZANIA ni blog inayotoa uchambuzi wa mambo mbali mbali ya maisha. Ni blog  inanayoweza kumpatia mafanikio kila Mtanzania.
 Nyota Ya Mtanzania itakupatia maarifa yatakayoweza kukusaidia kufikia mafanikio makubwa katika maisha yako. Mtandao huu ni mtandao unaomuandaa na kumkomboa kila Mtanzania kufanikisha safari yake ya mafanikio. Kupitia mtandao huu utapata ushauri na mafunzo yanayuhusu maisha ya kila siku ya mtanzania. Mtandao huu una lengo la kukupatia mbinu bora.  Mbinu hizi zitakazokuwezesha kufikia mafanikio makubwa katika kazi zako na maisha yako binafsi.
Kupitia blog hii nitatumia utaalamu nilionao kutoa mchango wangu kwa Watanzania. Mtandao huu utahusisha katika kutumia uzoefu nilionao katika masuala ya elimu.  Mtandao utatoa elimu  itakayowafanya Watanzania wawe na maisha bora. Mtandao  utajikita kama njia ya mawasiliano kwa watu mbali mbali kwenye ulimwengu wa taarifa.
HUDUMA ZA NYOTA YA MTANZANIA
Kupitia blog hii utanufaika na huduma zifuatazo;
  1. Makala mbali mbali zinazohusu maisha, hamasa,kazi na biashara.
  2. Ushauri wa maisha kutokana na changamoto tunazozipitia.
  3. Mafunzo ya kilimo na mifugo.
  4. Ushauri wa kilimo na mifugo


MAWASILIANO
Kwa mawasiliano zaidi kuhusiana na blog hii tafadhali wasiliana na
Ali Khamis, mmiliki wa blog hii kupitia:
SIMU: +255784498867
  AU : +255766194913
EMAIL: ali76khamis@yahoo.com


KARIBU NYOTA YA MTANZANIA JISIKIE UKO NYUMBANI UFANIKISHE NDOTO ZAKO
Share:

0 comments:

Chapisha Maoni

Asante Sana Na Karibu Tena

JIUNGE NA NYOTA YA MTANZANIA

* indicates required

CHAGUA MWEZI WA MAKALA